BODABODA, SAFIRI SALAMA.

Mkurugenzi wa Bosaseli Bwana Mourice Ouko akiwa na dada Hifsi Joseph (katibu wa Bosaseli) pamoja na Mdau wa Bosaseli Cindy McDougall katika mujadala wa kuwezesha...

Read More

BODABODA BILA AJALI,FAMILIA INAFURAHI

Bosaseli ikiwa na wadau wengine wa vijana katika harakati za kuwajengea uwezo na kubadilishana uelewa ili kuifikia jamii salama, hasa vijana walioko kwenye tasnia ya...

Read More

SAFIRI POLEPOLE,UFIKE SALAMA

Bodaboda ni kazi halali na ya heshima ni jasho la kijana ni riziki ya familia

Read More

TUWAINUE BODABODA KWA PAMOJA

Bosaseli ikizidi kushirikiana na wadau mbalimbali katika mazungumzo yenye kuleta muafaka na mwelekeo chanya wa kuweza kuwasaidia maafisa usafirishaji hili kuweza kuepuka ajali zisizo za...

Read More

ELIMU YA BODABODA TUMAINI LA JAMII

Bosaseli ikiwa katika mazungumzo TBC ARUSHA kwa lengo la kutoa elimu mbalimbali itakayoweza kusaidia bodaboda na jamii kwa ujumla.

Read More

MAENDELEO KWA BODABODA KUPITIA ELIMU

Nyakati za elimu kwa maafisa usafirishaji wa bodaboda, Samwel Daudi – mkurugenzi wa Jioni Ya Zamani akajitokeza kutia nguvu katika shughuli hii nzuri ya kuifanya...

Read More

NGUVU YA ELIMU KWA MAAFISA USAFIRISHAJI WA PIKIPIKI (BODABODA)

Maafisa usafirishaji wakiendelea kupokea elimu na ujengewaji uwezo kwenye mbinu za kuepukana na ajali zinazoepukika.

Read More

JAMII YENYE USALAMA, BODABODA ALIYEPATA ELIMU.

Maafisa wa usafirishaji baada ya kupata elimu inayolenga kuokoa maisha yao, abiria na watumiaji wengine wa barabara katika kazi zao za kila siku wanatoa kwa...

Read More

KUENDESHA SALAMA, KUISHI SALAMA.

Maafisa usafirishaji wakipewa elimu ya kujiepusha na ajali kupitia redio. Bosaseli wameendelea kuitoa hii elimu kupitia kituo cha redio cha TBC Arusha jinsi wanavyoweza kujiepusha...

Read More

Bosaseli wakitoa elimu kwa maafisa usafirishaji wa pikipiki katika maeneo ya Sanawari mahakamani.

Elimu ya namna bora ya matumizi ya sheria, kanuni na taratibu za usalama barabarani ili kuepukana na ajali zinazoepukika zinazosababisha vifo, ulemavu, utegemezi na uharibifu...

Read More