TUWAINUE BODABODA KWA PAMOJA

Bosaseli ikizidi kushirikiana na wadau mbalimbali katika mazungumzo yenye kuleta muafaka na mwelekeo chanya wa kuweza kuwasaidia maafisa usafirishaji hili kuweza kuepuka ajali zisizo za...

Read More

BODABODA NA KILIMO NJIA YA KUJIKWAMUA

Bosaseli imeweza kumtembelea kijana ambaye ameweza kupata ajali na kushindwa kuendelea na shughuli ya bodaboda, lengo kuu la bosaseli ni kutambua mchango wa kijana yule...

Read More

ELIMU YA BODABODA TUMAINI LA JAMII

Bosaseli ikiwa katika mazungumzo TBC ARUSHA kwa lengo la kutoa elimu mbalimbali itakayoweza kusaidia bodaboda na jamii kwa ujumla.

Read More

MAENDELEO KWA BODABODA KUPITIA ELIMU

Nyakati za elimu kwa maafisa usafirishaji wa bodaboda, Samwel Daudi – mkurugenzi wa Jioni Ya Zamani akajitokeza kutia nguvu katika shughuli hii nzuri ya kuifanya...

Read More

NGUVU YA ELIMU KWA MAAFISA USAFIRISHAJI WA PIKIPIKI (BODABODA)

Maafisa usafirishaji wakiendelea kupokea elimu na ujengewaji uwezo kwenye mbinu za kuepukana na ajali zinazoepukika.

Read More

JAMII YENYE USALAMA, BODABODA ALIYEPATA ELIMU.

Maafisa wa usafirishaji baada ya kupata elimu inayolenga kuokoa maisha yao, abiria na watumiaji wengine wa barabara katika kazi zao za kila siku wanatoa kwa...

Read More

KUENDESHA SALAMA, KUISHI SALAMA.

Maafisa usafirishaji wakipewa elimu ya kujiepusha na ajali kupitia redio. Bosaseli wameendelea kuitoa hii elimu kupitia kituo cha redio cha TBC Arusha jinsi wanavyoweza kujiepusha...

Read More

BOSASELI WAKIZIDI KUTOA ELIMU

Bosaseli yazidi kutoa elimu kwa maafisa usafirishaji huku ikizidi kuwataka maafisa usafirishaji wazidi kuendesha kwa umakini na uangalifu hili kuepuka ajali zisizo za lazima

Read More

Bosaseli katika harakati za kuwabadilisha wadau wake (maafisa usafirishaji wa bodaboda) kifikra ili kuwa salama.

Maafisa usafirishaji wa pikipiki wakiendelea na zoezi la kuwajengewa uwezo wa kutumia sheria na kanuni za usalama barabarani ili kujiweka katika khali salama bila ajali...

Read More